UBUYU: Irene Uwoya amefunguka haya kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram
Kuwa juu sio lazima utumie migongo ya watu,mwanamke
kujiamin afu mmbwa hawanisumbui kabisa ila fanya yote acha kumtumia msg
za uwongo mme wangu ata kama tumetengana tuna mtoto!sooo plzzz kaa mbali
na mim ,mim sijazoea uswahili na bishana na pesa sio maneno!ila narudia
tena acha kumtumia mme wangu msg za kiseee kama mnatakana fanyeni bila
kunitaja tena hamtaona naongea!nazan umenielewa vzuri sina haja ya
kukutaja jina unajijua...OVER
Hili ni jiwe gizani.
Mzee wa Ubuyu

Note: Only a member of this blog may post a comment.