Ndoa hiyo ilihudhuriwa na mastaa wengi wa soka akiwemo nahodha wa klabu ya Manchester United na England Wayne Rooney ambaye pia aliongozana na mkewe Coleen, Chris Smalling wa Man United, Danny Welbeck na wachezaji wengine, pia alikuwepo muimbaji wa band ya The Saturdays, Rochelle Humes.

Cleverley na Mkewe wakiwa wanatoka kanisani


Mchezaji wa Arsenal – Danny Welbeck

Wayne na Coleen Rooney Harusini
Cleverley na Mkewe wakiwa wanatoka kanisani
Mchezaji wa Arsenal – Danny Welbeck
Wayne na Coleen Rooney Harusini
Wanandoa kwenye pozi la picha

Note: Only a member of this blog may post a comment.