Friday, April 24, 2015

Anonymous

Stori nyingine kwenye Headlines baada ya raia wa kigeni kushambuliwa Afrika Kusini..

Zimbabwe-victims-of-xenophobic-attacks-in-South-Africa-disembark-from-a-bus-on-arrival-at-the-International-Organisation-for-Migration-Reception-and-Support-Centre-in-Beitbridge-Zimbabwe-600x400 
Wakati dunia ikiendelea kulaani machafuko yanayoendelea Afrika Kusini kutokana na wenyeji kuwashambulia wageni, kilichochukua nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari kwa sasa ni ishu ya raia wa kigeni waliokuwemo ndani ya nchi hiyo kuanza kurudi kwenye nchi zao. 

Zimbambwe ni miongoni mwa nchi za Afrika ambazo watu wao wameathirika kwenye machafuko hayo, tayari watu 400 wamerudi nyumbani kwao kwa usafiri wa mabasi ya abiria.

Zimbabwe-victims-of-xenophobic-attacks-in-South-Africa-disembark-from-a-bus-on-arrival-at-the-International-Organisation-for-Migration-Reception-and-Support-Centre-in-Beitbridge-Zimbabwe-600x400
Moja ya taarifa iliyopewa uzito leo ni ishu ya Watanzania waliokuwa Afrika Kusini kurudishwa TZ kutokana na machafuko hayo.
"Serikali yarejesha raia 18 kutoka Yemen na wengine 21 toka S.Afrika kutokana na nchi hizo kuwa na machafuko"
A-pregnant-woman-stands-in-a-registration-queue-awaiting-her-turn-at-the-International-Organisation-for-Migration-Reception-and-Support-Centre-in-Beitbridge-after-fleeing-attacks-that-have-seven-people-dead-600x
Venge-Mundai-a-survivor-of-the-xenophobic-violence-is-looked-after-by-a-doctor-inside-a-makeshift-clinic-at-the-International-Organisation-for-Migration-Reception-and-Support-Centre-in-Beitbridge-600x400

USIPITWE! JIUNGE NASI FACEBOOK

Subscribe to this Blog via Email :

TOA MAONI YAKO HAPA (MATUSI HAYARUHUSIWI)

Note: Only a member of this blog may post a comment.