Mwadham
Cardinal Pengo akitoa maelezo juu ya sakata linaloendelea juu ya
mchakato wa katiba amesema yeye hatumiki na CCM katika maswala ya
katiba. Askofu Pengo amehoji juu ya shutuma ambazo wengi wanamzungumzia
kama yeye anatumika na CCM. Je, wanaompinga wanatumika na UKAWA?
Suala hili limezuka baada ya Askofu Pengo kuenda kinyume na msimamo wa maaskofu wa kikristu ambao walitoa tamko kwamba wananchi waipigie kura ya hapana katiba inayopendekezwa kutokana na sababu ya kuwepo kwa mchakato wa kuingizwa kwenye katiba hiyo suala la mahakama ya kadhi.
Kutokana na msimamo huo Askofu Pengo alitoa tamko tofauti na msimamo wa maaskofu wenzake kwa kusema kwamba viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwaamlia wananchi au waumini kupiga kura ya hapana bali wananchi au waumini wanatakiwa kuachwa huru kuamua wenyewe kupiga kura ya hapana au ndiyo kwa kadri ya utashi wao
Suala hili limezuka baada ya Askofu Pengo kuenda kinyume na msimamo wa maaskofu wa kikristu ambao walitoa tamko kwamba wananchi waipigie kura ya hapana katiba inayopendekezwa kutokana na sababu ya kuwepo kwa mchakato wa kuingizwa kwenye katiba hiyo suala la mahakama ya kadhi.
Kutokana na msimamo huo Askofu Pengo alitoa tamko tofauti na msimamo wa maaskofu wenzake kwa kusema kwamba viongozi wa dini hawana mamlaka ya kuwaamlia wananchi au waumini kupiga kura ya hapana bali wananchi au waumini wanatakiwa kuachwa huru kuamua wenyewe kupiga kura ya hapana au ndiyo kwa kadri ya utashi wao
Note: Only a member of this blog may post a comment.