Mcheza filamu za kibongo ambae pia ni muigiazaji wa michezo ya
kuigiza kupitia kituo cha televisheni cha Chanel Ten, Rachel Silvestar
amesma anashangazwa na baadhi ya watu kumchukulia vibaya muogizaji
mkongwe JB baada ya kuonekana amekopi filamu ya kihindi na kuiita mzee
wa swaga wakati hicho kitendo ni cha kawaida kwenye sanaa duniani na JB
sio mtu wa kwanza kukupi filamu za nje.
Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina tofauti na alivyofanya JB kuchukua tu stori,na ikumbukwe ukukopi ukafanya vizuri basi hiyo ndio sanaa maana wengi wanakopi lakini hawafanyi vizuri ila JB amefanya vizuri.
Hapo juu ni baadhi ya filamu za kizungu ambazo marehemu Kanumba na Ray walizokopi stori mpaka majina, pia na picha ya Rachel akiwa na Zamaradi.
Amesema wasanii wakubwa pia kama marehemu Kanumba na Ray nao wamewahi kukopi filamu za nje tena mpaka majina tofauti na alivyofanya JB kuchukua tu stori,na ikumbukwe ukukopi ukafanya vizuri basi hiyo ndio sanaa maana wengi wanakopi lakini hawafanyi vizuri ila JB amefanya vizuri.
Hapo juu ni baadhi ya filamu za kizungu ambazo marehemu Kanumba na Ray walizokopi stori mpaka majina, pia na picha ya Rachel akiwa na Zamaradi.




Note: Only a member of this blog may post a comment.