Caitlyn Jenner, ambaye kabla ya kubadili jina alikuwa akifahamika kama Bruce Jenner ambaye ni mama wa kambo
baba wa kambo wa Kim Kardashian aliyejibadilisha na kuwa mwanamke,
amevunja rekodi ya dunia kwa kuwa mtu wa kwanza kufikisha followers
milioni moja wa Twitter ndani ya saa nne na dakika tatu.
Caitlyn alitweet furaha yake kupitia akaunti yake mpya ya Twitter.
Rekodi hiyo hapo awali iliwekwa na rais wa Marekani, Barack Obama
baada ya kufungua akaunti yake binafsi ya Twitter mwezi uliopita.

Note: Only a member of this blog may post a comment.